Fahamu kuhusu Saratani ya mlango wa uzazi

Wanawake 3,200 hufariki kila mwaka kutokana na saratani ya mlango wa kizazi kila mwaka nchini Kenya huku visa 5,800 vya saratani ya mlango wa kizazi vikinakiliwa.
Licha ya athari za ugonjwa huu, ni asilimia 16-18% ya wanawake wa umri wa miaka 25-49 ambao wamewahi kupimwa saratani ya mlango wa kizazi Maishani kulingana na wizara ya afya.
Katika kipindi hiki tumeungana na mtaalam wa afya Marisela winnie, ambaye nesi wa saratani katika kituo cha saratani cha HCG kutuelimisha kuhusu aina hii ya saratani.