Matumizi Salama ya Dawa

Asilimia 50 ya wagonjwa hushindwa kutumia dawa zao kwa usahihi au kufuata utaratibu uliowekwa. Wakati huo huo watu milioni 7.6 wanaotumia dawa vibaya wanakadiriwa kuwa waraibu wa dawa hizo. Isitoshe, matumizi mabaya ya dawa bila agizo la daktari mara nyingi husababisha athari hasi kwa watumizi wakati mwingine kusababisha hata mauti. Ni njia gani ndio salama katika matumizi ya dawa? Katika kipindi hiki Patrick Muleka anazungumza na wataalam wa dawa kutueleimisha kuhusu mada hii?